Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Pet 2:24-25

1 Pet 2:24-25 SUV

Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa. Kwa maana mlikuwa mnapotea kama kondoo; lakini sasa mmemrudia Mchungaji na Mwangalizi wa roho zenu.

Soma 1 Pet 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Pet 2:24-25