Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 17:40

1 Samweli 17:40 NENO

Kisha akachukua fimbo yake mkononi, akachagua mawe laini matano katika kijito, akayaweka kwenye kifuko ndani ya mfuko wake wa kichungaji, akiwa na kombeo yake mkononi mwake, akamkaribia yule Mfilisti.