Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samueli 17:40

1 Samueli 17:40 BHN

Daudi akachukua fimbo yake mkononi, akajichagulia mawe matano mazuri kutoka kwenye kijito, akayatia katika mfuko wake wa mchungaji. Kombeo lake likiwa tayari mkononi mwake, akaanza kumwendea Goliathi Mfilisti.