Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 33:15-18

Ayubu 33:15-18 NEN

Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao, anaweza akasemea masikioni mwao, na kuwatia hofu kwa maonyo, ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya na kumwepusha na kiburi, kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ayubu 33:15-18