Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 4:39-40

Marko 4:39-40 NEN

Akaamka, akaukemea ule upepo, akayaambia yale mawimbi, “Uwe kimya! Tulia!” Ule upepo ukatulia, kukawa shwari kabisa. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 4:39-40