Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 4:39-40

Marko 4:39-40 BHN

Basi, akaamka, akaukemea ule upepo na kuyaamrisha mawimbi ya ziwa, “Kimya! Tulia!” Hapo upepo ukakoma, kukawa shwari kabisa. Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 4:39-40