Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 6:16

2 Wakorintho 6:16 SRUV

Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wakorintho 6:16