Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 3:28

Danieli 3:28 SRUV

Nebukadneza akanena, akasema, Na ahimidiwe Mungu wa Shadraka, na Meshaki, na Abednego; aliyemtuma malaika wake, akawaokoa watumishi wake waliomtumaini, wakaligeuza neno la mfalme, na kujitoa miili yao ili wasimtumikie mungu mwingine, wala kumwabudu, ila Mungu wao wenyewe.

Soma Danieli 3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Danieli 3:28