Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 26:4-5

Mwanzo 26:4-5 SRUV

Nitazidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, nami nitawapa uzao wako nchi hizi zote, na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watajibarikia. Kwa sababu Abrahamu alisikia sauti yangu, akayahifadhi maagizo yangu, na amri zangu, na hukumu zangu, na sheria zangu.

Soma Mwanzo 26

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 26:4-5