Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 26:4-5

Mwanzo 26:4-5 BHN

Nitawazidisha wazawa wako wawe kama nyota za mbinguni na kuwapa nchi hizi zote. Kutokana na wazawa wako, mataifa yote duniani yatabarikiwa, kwa sababu Abrahamu alinitii mimi, akazingatia maagizo yangu, amri zangu, masharti yangu na sheria zangu.”

Soma Mwanzo 26

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 26:4-5