Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 19:21

1 Wafalme 19:21 BHN

Basi, Elisha akamwacha Elia, akairudia jozi yake ya ng'ombe, akawachinja ng'ombe hao na kuwapika akitumia miti ya nira kama kuni, akawapa watu, wakala. Kisha akaondoka, akamfuata Elia na kuwa mtumishi wake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wafalme 19:21