Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 3:28

Danieli 3:28 BHN

Basi, mfalme Nebukadneza akasema, “Na asifiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego kwa kuwa alimtuma malaika wake na kuwaokoa watumishi wake ambao wanamtegemea. Wao walikataa kutii amri yangu ya kifalme, wakaitoa mhanga miili yao badala ya kuabudu mungu mwingine, ila Mungu wao peke yake.

Soma Danieli 3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Danieli 3:28