Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 27:33-34

Mathayo 27:33-34 BHN

Walipofika mahali paitwapo Golgotha, maana yake, mahali pa Fuvu la Kichwa, wakampa mchanganyiko wa divai na kitu kichungu. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa.