Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 107:28-29

Zaburi 107:28-29 BHN

Ndipo katika taabu zao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso zao. Aliifanya ile dhoruba kali itulie, nayo mawimbi yakanyamaza.

Soma Zaburi 107