1
Mwanzo 2:24
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ndiyo maana mwanaume anamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na muke wake, nao wawili wanakuwa mwili mumoja.
ஒப்பீடு
Mwanzo 2:24 ஆராயுங்கள்
2
Mwanzo 2:18
Kisha Yawe Mungu akasema: “Si vizuri huyu mwanaume kuwa peke yake. Nitamufanyia musaidizi wa kumufaa.”
Mwanzo 2:18 ஆராயுங்கள்
3
Mwanzo 2:7
Halafu Yawe Mungu akamwumba mwanaume kwa udongo, akamupulizia ndani ya pua pumzi ya uzima, na yule mwanaume akakuwa kiumbe chenye uzima.
Mwanzo 2:7 ஆராயுங்கள்
4
Mwanzo 2:23
Halafu huyo mwanaume akasema: “Kweli! Huyu ni mufupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamuke’, kwa sababu ametolewa katika mwanaume.”
Mwanzo 2:23 ஆராயுங்கள்
5
Mwanzo 2:3
Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, maana kwa siku hiyo Mungu alipumzika kisha kazi yake yote ya kuumba.
Mwanzo 2:3 ஆராயுங்கள்
6
Mwanzo 2:25
Huyo mwanaume na muke wake wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.
Mwanzo 2:25 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்