1
Yohane 12:26
Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza
Anayetaka kunitumikia ni lazima anifuate, hivyo kwamba popote pale nilipo mimi ndipo na mtumishi wangu atakapokuwa. Mtu yeyote anayenitumikia Baba yangu atampa heshima.
సరిపోల్చండి
Yohane 12:26 ని అన్వేషించండి
2
Yohane 12:25
Anayependa maisha yake, atayapoteza; anayeyachukia maisha yake katika ulimwengu huu, atayaweka kwa ajili ya uhai wa milele.
Yohane 12:25 ని అన్వేషించండి
3
Yohane 12:24
Kweli nawaambieni, punje ya ngano hubaki punje tu isipokuwa ikianguka katika udongo na kufa. Kama ikifa, basi huzaa matunda mengi.
Yohane 12:24 ని అన్వేషించండి
4
Yohane 12:46
Mimi ni mwanga, nami nimekuja ulimwenguni ili wote wanaoniamini wasibaki gizani.
Yohane 12:46 ని అన్వేషించండి
5
Yohane 12:47
Anayeyasikia maneno yangu lakini hayashiki, mimi sitamhukumu; maana sikuja kuuhukumu ulimwengu bali kuuokoa.
Yohane 12:47 ని అన్వేషించండి
6
Yohane 12:3
Basi, Maria alichukua nusu lita ya marashi ya nardo safi ya thamani kubwa, akampaka Yesu miguu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba yote ikajaa harufu ya marashi.
Yohane 12:3 ని అన్వేషించండి
7
Yohane 12:13
Basi, wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki; wakapaza sauti wakisema: “Sifa! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana. Abarikiwe mfalme wa Israeli.”
Yohane 12:13 ని అన్వేషించండి
8
Yohane 12:23
Yesu akawaambia, “Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika!
Yohane 12:23 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు