1
Yohane 15:5
Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza
“Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami nikiwa ndani yake, huyo huzaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.
సరిపోల్చండి
Yohane 15:5 ని అన్వేషించండి
2
Yohane 15:4
Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Kama vile tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipobaki katika mzabibu, hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.
Yohane 15:4 ని అన్వేషించండి
3
Yohane 15:7
Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.
Yohane 15:7 ని అన్వేషించండి
4
Yohane 15:16
Nyinyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapeni chochote mnachomwomba kwa jina langu.
Yohane 15:16 ని అన్వేషించండి
5
Yohane 15:13
Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
Yohane 15:13 ని అన్వేషించండి
6
Yohane 15:2
Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.
Yohane 15:2 ని అన్వేషించండి
7
Yohane 15:12
Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi.
Yohane 15:12 ని అన్వేషించండి
8
Yohane 15:8
Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi wangu.
Yohane 15:8 ని అన్వేషించండి
9
Yohane 15:1
“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Yohane 15:1 ని అన్వేషించండి
10
Yohane 15:6
Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la namna hiyo na kulitupa motoni liungue.
Yohane 15:6 ని అన్వేషించండి
11
Yohane 15:11
Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani yenu, na furaha yenu ikamilike.
Yohane 15:11 ని అన్వేషించండి
12
Yohane 15:10
Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
Yohane 15:10 ని అన్వేషించండి
13
Yohane 15:17
Basi, amri yangu kwenu ndiyo hii: pendaneni.
Yohane 15:17 ని అన్వేషించండి
14
Yohane 15:19
Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda nyinyi kama watu wake. Lakini kwa vile nyinyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni kutoka ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.
Yohane 15:19 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు