1
Yoane 3:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Kwa maana Mungu alipenda sana ulimwengu hata kumutoa Mwana wake wa pekee, kusudi kila mutu anayemwamini asipotee, lakini apate uzima wa milele.
Ṣe Àfiwé
Ṣàwárí Yoane 3:16
2
Yoane 3:17
Mungu hakumutuma Mwana wake katika ulimwengu kusudi ahukumu ulimwengu, lakini kusudi ulimwengu uokolewe naye.
Ṣàwárí Yoane 3:17
3
Yoane 3:3
Yesu akamujibu: “Kweli, kweli ninakuambia: mutu hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu asipozaliwa mara ya pili.”
Ṣàwárí Yoane 3:3
4
Yoane 3:18
Anayemwamini Mwana hahukumiwi, lakini asiyemwamini amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Ṣàwárí Yoane 3:18
5
Yoane 3:19
Hukumu inatokana na hivi: mwangaza umekuja katika ulimwengu, lakini watu wanapenda giza kuliko mwangaza, kwa sababu matendo yao ni mabaya.
Ṣàwárí Yoane 3:19
6
Yoane 3:30
Sherti utukufu wake uzidi na wangu upunguke.
Ṣàwárí Yoane 3:30
7
Yoane 3:20
Kila mutu anayefanya mabaya anachukia mwangaza, naye anakataa kuja kwenye mwangaza, kusudi matendo yake yasionekane wazi.
Ṣàwárí Yoane 3:20
8
Yoane 3:36
Anayemwamini Mwana yuko na uzima wa milele. Anayekataa kumwamini Mwana hatapata uzima; atakaa akipatwa na kasirani ya Mungu.”
Ṣàwárí Yoane 3:36
9
Yoane 3:14
Sawa Musa alivyonyanyua nyoka ya shaba juu ya muti katika jangwa, ni hivi vilevile, sherti Mwana wa Mutu anyanyuliwe
Ṣàwárí Yoane 3:14
10
Yoane 3:35
Baba anamupenda Mwana wake, naye ameweka vitu vyote kwa mukono wake.
Ṣàwárí Yoane 3:35
Ilé
Bíbélì
Àwon ètò
Àwon Fídíò