1
Mwanzo 9:12-13
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Tena Mungu akasema, “Hii ndiyo alama ya agano ninalofanya kati yangu nanyi na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi kwa vizazi vyote vijavyo. Naweka upinde wangu mawinguni, nao utakuwa ishara ya agano kati yangu na dunia.
Ṣe Àfiwé
Ṣàwárí Mwanzo 9:12-13
2
Mwanzo 9:16
Huo upinde utakapotokea mawinguni, nitauona na kulikumbuka agano hilo la milele kati yangu na viumbe vyote hai duniani.”
Ṣàwárí Mwanzo 9:16
3
Mwanzo 9:6
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
Ṣàwárí Mwanzo 9:6
4
Mwanzo 9:1
Mungu akambariki Noa na wanawe, akiwaambia, “Zaeni, muongezeke, mkaijaze nchi.
Ṣàwárí Mwanzo 9:1
5
Mwanzo 9:3
Wanyama wote hai watakuwa chakula chenu kama vile nilivyowapa mimea kuwa chakula chenu.
Ṣàwárí Mwanzo 9:3
6
Mwanzo 9:2
Wanyama wote, ndege wote wa angani, viumbe wote watambaao juu ya nchi na samaki wote wa baharini watakuwa na hofu na kuwaogopa nyinyi. Wote wamewekwa chini ya mamlaka yenu.
Ṣàwárí Mwanzo 9:2
7
Mwanzo 9:7
Nanyi zaeni, mkaongezeke; zaeni kwa wingi, mkaongezeke nchini.”
Ṣàwárí Mwanzo 9:7
Ilé
Bíbélì
Àwon ètò
Àwon Fídíò