1
Yohane 7:38
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: ‘Anayeniamini mimi, mito ya maji ya uhai itatiririka kutoka moyoni mwake!’”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yohane 7:38
2
Yohane 7:37
Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalumu. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, “Aliye na kiu na aje kwangu anywe.
Nyochaa Yohane 7:37
3
Yohane 7:39
(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado).
Nyochaa Yohane 7:39
4
Yohane 7:24
Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”
Nyochaa Yohane 7:24
5
Yohane 7:18
Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote.
Nyochaa Yohane 7:18
6
Yohane 7:16
Hapo Yesu akawajibu, “Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.
Nyochaa Yohane 7:16
7
Yohane 7:7
Ulimwengu hauwezi kuwachukia nyinyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nashuhudia juu yake kwamba matendo yake ni maovu.
Nyochaa Yohane 7:7
Ebe Mmepe Nke Mbụ Nke Ngwá
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ Ihe Ogụgụ Gasị
Vidiyo Gasị