1
Yohane 8:12
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu. Anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na mwanga wa uhai.”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yohane 8:12
2
Yohane 8:32
Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
Nyochaa Yohane 8:32
3
Yohane 8:31
Basi, Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkiyazingatia mafundisho yangu mtakuwa kweli wanafunzi wangu.
Nyochaa Yohane 8:31
4
Yohane 8:36
Mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.
Nyochaa Yohane 8:36
5
Yohane 8:7
Walipozidi kumwuliza, Yesu akainuka, akawaambia, “Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe.”
Nyochaa Yohane 8:7
6
Yohane 8:34
Yesu akawajibu, “Kweli nawaambieni, kila mtu anayetenda dhambi ni mtumwa wa dhambi.
Nyochaa Yohane 8:34
7
Yohane 8:10-11
Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, “Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?” Huyo mwanamke akamjibu, “Bwana, hakuna hata mmoja!” Naye Yesu akamwambia, “Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; na tangu sasa usitende dhambi tena.”]
Nyochaa Yohane 8:10-11
Ebe Mmepe Nke Mbụ Nke Ngwá
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ Ihe Ogụgụ Gasị
Vidiyo Gasị