1
1 Wafalme 22:22
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
“Mwenyezi Mungu akauliza, ‘Kwa njia gani?’ “Akasema, ‘Nitaenda na kuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.’ “Mwenyezi Mungu akasema, ‘Utafanikiwa katika kumshawishi. Nenda ukafanye hivyo.’
Linganisha
Chunguza 1 Wafalme 22:22
2
1 Wafalme 22:23
“Kwa hiyo sasa Mwenyezi Mungu ameweka roho ya kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii wako wote. Mwenyezi Mungu ameamuru maafa kwa ajili yako.”
Chunguza 1 Wafalme 22:23
3
1 Wafalme 22:21
Hatimaye, pepo mchafu akajitokeza, akasimama mbele za Mwenyezi Mungu na kusema, ‘Nitamshawishi.’
Chunguza 1 Wafalme 22:21
4
1 Wafalme 22:20
Naye Mwenyezi Mungu akasema, ‘Ni nani atakayemshawishi Ahabu ili aishambulie Ramoth-Gileadi na kukiendea kifo chake huko?’ “Mmoja akapendekeza hili na mwingine lile.
Chunguza 1 Wafalme 22:20
5
1 Wafalme 22:7
Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa Mwenyezi Mungu hapa ambaye tunaweza kumuuliza?”
Chunguza 1 Wafalme 22:7
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video