1
Amosi 4:13
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Yeye ambaye hufanya milima, anaumba upepo, na kufunua mawazo yake kwa mwanadamu, yeye ageuzaye asubuhi kuwa giza, na kukanyaga mahali pa juu pa nchi: Bwana Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni ndilo jina lake.
Linganisha
Chunguza Amosi 4:13
2
Amosi 4:12
“Kwa hiyo hili ndilo nitakalowafanyia, Israeli, na kwa sababu nitawafanyia hili, jiandaeni kukutana na Mungu wenu, ee Israeli.”
Chunguza Amosi 4:12
3
Amosi 4:6
“Niliwapa njaa kwenye kila mji, na ukosefu wa chakula katika kila mji, hata hivyo bado hamjanirudia mimi,” asema Mwenyezi Mungu.
Chunguza Amosi 4:6
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video