1
Waebrania 9:28
Neno: Bibilia Takatifu
vivyo hivyo Kristo alitolewa mara moja tu kuwa dhabihu ili azichukue dhambi za watu wengi. Naye atakuja mara ya pili, sio kuchukua dhambi, bali kuwaletea wokovu wale wanaomngoja kwa shauku.
Linganisha
Chunguza Waebrania 9:28
2
Waebrania 9:14
Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai!
Chunguza Waebrania 9:14
3
Waebrania 9:27
Kama vile mwanadamu alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kufa akabili hukumu
Chunguza Waebrania 9:27
4
Waebrania 9:22
Kwa kweli sheria hudai kwamba, karibu kila kitu kitakaswe kwa damu, wala pasipo kumwaga damu, hakuna msamaha wa dhambi.
Chunguza Waebrania 9:22
5
Waebrania 9:15
Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza.
Chunguza Waebrania 9:15
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video