1
Isaya 11:2-3
Neno: Bibilia Takatifu
Roho wa BWANA atakaa juu yake, Roho wa hekima na wa ufahamu, Roho wa shauri na wa uweza, Roho wa maarifa na wa kumcha BWANA naye atafurahia kumcha BWANA.
Linganisha
Chunguza Isaya 11:2-3
2
Isaya 11:1
Chipukizi litatokea kutoka shina la Yese, kutoka mizizi yake Tawi litazaa tunda.
Chunguza Isaya 11:1
3
Isaya 11:4
bali kwa uadilifu atahukumu wahitaji, kwa haki ataamua wanyenyekevu wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, kwa pumzi ya midomo yake atawaua waovu.
Chunguza Isaya 11:4
4
Isaya 11:5
Haki itakuwa mkanda wake na uaminifu utakuwa mshipi kiunoni mwake.
Chunguza Isaya 11:5
5
Isaya 11:9
Hawatadhuru wala kuharibu juu ya mlima wangu mtakatifu wote, kwa kuwa dunia itajawa na kumjua BWANA kama maji yajazavyo bahari.
Chunguza Isaya 11:9
6
Isaya 11:6
Mbwa mwitu ataishi pamoja na mwana-kondoo, naye chui atalala pamoja na mbuzi, ndama, mwana simba na ngʼombe wa mwaka mmoja watakaa pamoja, naye mtoto mdogo atawaongoza.
Chunguza Isaya 11:6
7
Isaya 11:10
Katika siku hiyo, Shina la Yese atasimama kama bendera kwa ajili ya mataifa. Mataifa yatakusanyika kwake, na mahali pake pa kupumzikia patakuwa utukufu.
Chunguza Isaya 11:10
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video