Nitasimulia kuhusu wema wa Mwenyezi Mungu,
kwa matendo ambayo apaswa kusifiwa,
sawasawa na yote ambayo Mwenyezi Mungu
ametenda kwa ajili yetu:
naam, mambo mengi mema aliyoyatenda
kwa ajili ya nyumba ya Israeli,
sawasawa na huruma zake
na wema wake mwingi.