1
Ebr 3:13
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Lakini mwonyane kila siku, maadamu iitwapo leo; ili mmoja wenu asifanywe mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.
Linganisha
Chunguza Ebr 3:13
2
Ebr 3:12
Angalieni, ndugu zangu, usiwe katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutokuamini, kwa kujitenga na Mungu aliye hai.
Chunguza Ebr 3:12
3
Ebr 3:14
Kwa maana tumekuwa washirika wa Kristo, kama tukishikamana na mwanzo wa uthabiti wetu kwa nguvu mpaka mwisho
Chunguza Ebr 3:14
4
Ebr 3:8
Msifanye migumu mioyo yenu, Kama wakati wa kukasirisha, Siku ya kujaribiwa katika jangwa
Chunguza Ebr 3:8
5
Ebr 3:1
Kwa hiyo, ndugu watakatifu, wenye kuushiriki mwito wa mbinguni, mtafakarini sana Mtume na Kuhani Mkuu wa maungamo yetu, Yesu
Chunguza Ebr 3:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video