1
1 Mambo ya Nyakati 16:11
Swahili Revised Union Version
Mtafuteni BWANA na nguvu zake; Utafuteni uso wake siku zote.
Linganisha
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:11
2
1 Mambo ya Nyakati 16:34
Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:34
3
1 Mambo ya Nyakati 16:8
Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake; Wajulisheni watu matendo yake.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:8
4
1 Mambo ya Nyakati 16:10
Jisifuni kwa jina lake takatifu; Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:10
5
1 Mambo ya Nyakati 16:12
Yakumbukeni matendo yake yote ya ajabu aliyoyafanya; Miujiza yake na hukumu za kinywa chake
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:12
6
1 Mambo ya Nyakati 16:9
Mwimbieni, mwimbieni nyimbo za kumsifu; Yatangazeni matendo yake yote ya ajabu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:9
7
1 Mambo ya Nyakati 16:25
Kwa kuwa BWANA ni mkuu mwenye kusifiwa sana; Na wa kuhofiwa kuliko miungu yote.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:25
8
1 Mambo ya Nyakati 16:29
Mpeni BWANA utukufu wa jina lake; Leteni sadaka, na mje mbele zake; Mwabuduni BWANA kwa uzuri wa utakatifu
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:29
9
1 Mambo ya Nyakati 16:27
Heshima na adhama ziko mbele zake; Nguvu na furaha zipo mahali pake.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:27
10
1 Mambo ya Nyakati 16:23
Mwimbieni BWANA, nchi yote; Tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:23
11
1 Mambo ya Nyakati 16:24
Watangazieni mataifa habari za utukufu wake, Na watu wote habari za maajabu yake.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:24
12
1 Mambo ya Nyakati 16:22
Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:22
13
1 Mambo ya Nyakati 16:26
Maana miungu yote ya watu si kitu; Lakini BWANA ndiye aliyezifanya mbingu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:26
14
1 Mambo ya Nyakati 16:15
Likumbukeni agano lake milele, Neno lile aliloviamuru vizazi elfu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:15
15
1 Mambo ya Nyakati 16:31
Mbingu na zifurahi, nchi na ishangilie; Na waseme katika mataifa, BWANA ametamalaki
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:31
16
1 Mambo ya Nyakati 16:36
Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, tangu milele hata milele. Na watu wote wakasema, Amina; wakamhimidi BWANA.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:36
17
1 Mambo ya Nyakati 16:28
Mpeni BWANA, enyi jamaa za watu, Mpeni BWANA utukufu na nguvu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:28
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video