1
Waraka kwa Waebrania 9:28
Swahili Revised Union Version
kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.
Linganisha
Chunguza Waraka kwa Waebrania 9:28
2
Waraka kwa Waebrania 9:14
basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na dosari, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai?
Chunguza Waraka kwa Waebrania 9:14
3
Waraka kwa Waebrania 9:27
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu
Chunguza Waraka kwa Waebrania 9:27
4
Waraka kwa Waebrania 9:22
Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo.
Chunguza Waraka kwa Waebrania 9:22
5
Waraka kwa Waebrania 9:15
Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.
Chunguza Waraka kwa Waebrania 9:15
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video