1
Kutoka 24:17-18
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Utukufu wa Mwenyezi-Mungu ulionekana mbele ya macho ya watu wa Israeli kama moto unaowaka juu ya mlima. Mose akaingia ndani ya lile wingu, akapanda mlimani. Alikaa huko kwa muda wa siku arubaini, mchana na usiku.
Linganisha
Chunguza Kutoka 24:17-18
2
Kutoka 24:16
Utukufu wa Mwenyezi-Mungu ukatua juu ya mlima Sinai na wingu likaufunika mlima kwa muda wa siku sita. Siku ya saba Mungu akamwita Mose kutoka katikati ya lile wingu.
Chunguza Kutoka 24:16
3
Kutoka 24:12
Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Njoo kwangu juu mlimani, ungoje huko. Mimi nitakupa vibao viwili vya mawe vyenye sheria na amri nilizoandika kwa ajili ya kuwafunza Waisraeli.”
Chunguza Kutoka 24:12
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video