1
Yohana 12:26
Swahili Roehl Bible 1937
Mtu akinitumikia, sharti anifuate mimi; napo hapo, nilipo mimi, papo hapo hata mtumishi wangu sharti awepo. Mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.*
Linganisha
Chunguza Yohana 12:26
2
Yohana 12:25
Mwenye kuipenda roho yake huiangamiza; naye mwenye kuichukia roho yake humu ulimwenguni ataiponya, aifikishe penye uzima wa kale na kale.
Chunguza Yohana 12:25
3
Yohana 12:24
Kweli kweli nawaambia: Punje ya ngano isipoanguka mchangani kufia mle, hukaa peke yake yenyewe tu; lakini inapokufa huleta mbegu nyingi.
Chunguza Yohana 12:24
4
Yohana 12:46
Mimi nimekuja ulimwenguni kuwa mwanga, kila anitegemeaye asikae gizani.
Chunguza Yohana 12:46
5
Yohana 12:47
Mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu. Kwani sikujia kuuhukumu ulimwengu, ila nimejia kuuokoa ulimwengu.
Chunguza Yohana 12:47
6
Yohana 12:3
Ndipo, Maria alipoleta kichupa cha mafuta ya maua yanayoitwa Narada, ni yenye bei kubwa, nayo yalikuwa hayakuchanganywa na mengine. Akampaka Yesu miguu, kisha akaisugua miguu yake kwa nywele zake; namo nyumbani mote pia mkanukia hayo mafuta ya maua.
Chunguza Yohana 12:3
7
Yohana 12:13
wakachukua makuti ya mitende, wakatoka kumwendea, wakapaza sauti: Hosiana! Na atukuzwe ajaye kwa Jina la Bwana! Ndiye mfalme wa Isiraeli!
Chunguza Yohana 12:13
8
Yohana 12:23
Ndipo, Yesu alipowajibu akisema: Saa imefika, Mwana wa mtu atukuzwe.
Chunguza Yohana 12:23
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video