1
1 Mambo ya Nyakati 16:11
Biblia Habari Njema
Mwendeeni Mwenyezi-Mungu mwenye nguvu; mwendeeni Mwenyezi-Mungu daima.
Linganisha
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:11
2
1 Mambo ya Nyakati 16:34
Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele!
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:34
3
1 Mambo ya Nyakati 16:8
Mpeni shukrani Mwenyezi-Mungu, tangazeni ukuu wake, yajulisheni mataifa mambo aliyoyatenda!
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:8
4
1 Mambo ya Nyakati 16:10
Jisifieni jina lake takatifu; wenye kumcha Mwenyezi-Mungu na wafurahi.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:10
5
1 Mambo ya Nyakati 16:12
Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, maajabu yake na hukumu alizotoa
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:12
6
1 Mambo ya Nyakati 16:9
Mshangilieni, mwimbieni Mungu sifa; simulieni matendo yake ya ajabu!
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:9
7
1 Mambo ya Nyakati 16:25
Maana Mwenyezi-Mungu ni mkuu, anasifika sana anastahili kuheshimiwa kuliko miungu yote.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:25
8
1 Mambo ya Nyakati 16:29
Mpeni Mwenyezi-Mungu heshima ya utukufu wa jina lake; leteni tambiko na kuingia nyumbani mwake. Mwabuduni Mwenyezi-Mungu patakatifuni pake.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:29
9
1 Mambo ya Nyakati 16:27
Utukufu na fahari vyamzunguka, nguvu na furaha vyajaza hekalu lake.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:27
10
1 Mambo ya Nyakati 16:23
Mwimbieni Mwenyezi-Mungu, ulimwengu wote. Tangazeni kila siku matendo yake ya wokovu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:23
11
1 Mambo ya Nyakati 16:24
Yatangazieni mataifa utukufu wake, waambieni watu wote matendo yake ya ajabu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:24
12
1 Mambo ya Nyakati 16:22
“Msiwaguse wateule wangu; msiwadhuru manabii wangu!”
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:22
13
1 Mambo ya Nyakati 16:26
Miungu yote ya mataifa mengine si kitu; lakini Mwenyezi-Mungu aliziumba mbingu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:26
14
1 Mambo ya Nyakati 16:15
Yeye hulishika agano lake milele, hutimiza ahadi zake kwa vizazi elfu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:15
15
1 Mambo ya Nyakati 16:31
Furahini enyi mbingu na dunia! Yaambieni mataifa, “Mwenyezi-Mungu anatawala!”
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:31
16
1 Mambo ya Nyakati 16:36
Asifiwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele! Kisha watu wote wakasema, “Amina!” Pia wakamsifu Mwenyezi-Mungu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:36
17
1 Mambo ya Nyakati 16:28
Mpeni Mwenyezi-Mungu, heshima enyi jamii zote za watu, naam, kirini utukufu na nguvu yake.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 16:28
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video