Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 1:26-27

Yakobo 1:26-27 NEN

Kama mtu akidhani ya kuwa anayo dini lakini hauzuii ulimi wake kwa hatamu, hujidanganya moyoni mwake, wala dini yake mtu huyo haifai kitu. Dini iliyo safi, isiyo na uchafu, inayokubalika mbele za Mungu Baba yetu, ndiyo hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao na kujilinda usitiwe madoa na dunia.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yakobo 1:26-27