Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 1:26-27

Yakobo 1:26-27 BHN

Kama mtu akijiona kuwa ni mtu mwenye dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, dini yake haifai kitu, na anajidanganya mwenyewe. Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yakobo 1:26-27