Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isa 38:1

Isa 38:1 SUV

Siku hizo Hezekia aliugua, akawa katika hatari ya kufa; na Isaya nabii, mwana wa Amozi, akaenda kwa mfalme, akamwambia, BWANA asema hivi, Tengeneza mambo ya nyumba yako; maana utakufa, wala hutapona.

Soma Isa 38