Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 38:1

Isaya 38:1 SRUV

Siku hizo Hezekia aliugua, akawa karibu kufa; na Isaya nabii, mwana wa Amozi, akaenda kwa mfalme, akamwambia, BWANA asema hivi, Tengeneza mambo ya nyumba yako; maana utakufa, wala hutapona.

Soma Isaya 38