Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 38:1

Isaya 38:1 BHN

Wakati huo, mfalme Hezekia aliugua sana karibu kufa. Ndipo nabii Isaya mwana wa Amozi, akamwendea, akamwambia, “Hivi ndivyo anavyosema Mwenyezi-Mungu: Panga mambo yako sawasawa katika nyumba yako kwa kuwa utakufa, hutapona.”

Soma Isaya 38