Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 36:5-7

Zaburi 36:5-7 SRUV

Ee BWANA, fadhili zako zafika hata mbinguni, Uaminifu wako hadi mawinguni. Haki yako ni kama milima ya Mungu, Hukumu zako ni vilindi vikuu, Ee BWANA, unawalinda wanadamu na wanyama. Ee Mungu, jinsi zilivyo na thamani fadhili zako! Wanadamu huukimbilia uvuli wa mbawa zako.

Soma Zaburi 36

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 36:5-7