Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 36:5-7

Zaburi 36:5-7 BHN

Fadhili zako ee Mwenyezi-Mungu zaenea hata mbinguni; uaminifu wako wafika mawinguni. Uadilifu wako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama vilindi vya bahari. Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, wawalinda wanadamu na wanyama Jinsi gani zilivyo bora fadhili zako! Wanadamu hukimbilia kivulini mwa mabawa yako.

Soma Zaburi 36

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 36:5-7