Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:33-34

Mathayo 6:33-34 BHN

Bali, shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu na matakwa yake, na hayo yote mtapewa kwa ziada. Basi, msiwe na wasiwasi juu ya kesho; kesho inayo yake. Matatizo ya siku moja yanawatosheni kwa siku hiyo.