YouVersion embleem
BybelLeesplanneVideo's
Kry die toep
Taalkieser
Soek-ikoon

Gewilde Bybelverse vanaf Mwanzo 2

1

Mwanzo 2:24

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

Ndiyo maana mwanamume humwacha baba yake na mama yake, akaambatana na mkewe, nao wawili huwa mwili mmoja.

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:24

2

Mwanzo 2:18

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Si vizuri huyu mwanamume kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:18

3

Mwanzo 2:7

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:7

4

Mwanzo 2:23

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

Ndipo huyo mwanamume akasema, “Naam! Huyu ni mfupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamke’, kwa sababu ametolewa katika mwanamume.”

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:23

5

Mwanzo 2:3

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alipumzika baada ya kazi yake yote ya kuumba.

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:3

6

Mwanzo 2:25

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:25

Vorige hoofstuk
Volgende hoofstuk
YouVersion

Moedig jou aan en daag jou uit om elke dag intimiteit met God op te soek.

Bediening

Iets oor ons

Loopbane

Vrywilliger

Webjoernaal

Media

Nuttige skakels

Hulp

Skenk

Bybelweergawes

Klankbybels

Bybeltale

Vers-van-die-dag


'n Digitale bediening van

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

PrivaatheidsbeleidVoorwaardes
Program vir die openbaarmaking van kwesbaarheid
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Tuisblad

Bybel

Leesplanne

Video's