1
Mwanzo 25:23
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Mwenyezi Mungu akamjibu, “Mataifa mawili yamo tumboni mwako, na mataifa hayo mawili kutoka ndani yako watatenganishwa. Mmoja atakuwa na nguvu kuliko mwingine, na yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”
Linganisha
Chunguza Mwanzo 25:23
2
Mwanzo 25:30
Esau akamwambia Yakobo, “Haraka, nipe huo mchuzi mwekundu! Nina njaa kali sana!” (Hii ndiyo sababu pia aliitwa Edomu.)
Chunguza Mwanzo 25:30
3
Mwanzo 25:21
Isaka akamwomba Mwenyezi Mungu kwa ajili ya mke wake, kwa sababu alikuwa tasa. Mwenyezi Mungu akajibu maombi yake na Rebeka mkewe akapata mimba.
Chunguza Mwanzo 25:21
4
Mwanzo 25:32-33
Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?” Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.” Hivyo Esau akamwapia, akamuuzia Yakobo haki yake ya mzaliwa wa kwanza.
Chunguza Mwanzo 25:32-33
5
Mwanzo 25:26
Baadaye, ndugu yake akatoka, mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino; akaitwa jina Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka sitini Rebeka alipowazaa.
Chunguza Mwanzo 25:26
6
Mwanzo 25:28
Isaka, aliyekuwa anapendelea zaidi nyama za porini, alimpenda Esau, bali Rebeka alimpenda Yakobo.
Chunguza Mwanzo 25:28
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video