1
Ufu 16:15
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
(Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)
Linganisha
Chunguza Ufu 16:15
2
Ufu 16:12
Na huyo wa sita akakimimina kitasa chake juu ya mto ule mkubwa Frati; maji yake yakakauka, ili njia itengenezwe kwa wafalme watokao katika maawio ya jua.
Chunguza Ufu 16:12
3
Ufu 16:14
Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
Chunguza Ufu 16:14
4
Ufu 16:13
Nikaona roho tatu za uchafu zilizofanana na vyura, zikitoka katika kinywa cha yule joka, na katika kinywa cha yule mnyama, na katika kinywa cha yule nabii wa uongo.
Chunguza Ufu 16:13
5
Ufu 16:9
Wanadamu wakaunguzwa maunguzo makubwa, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka juu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu.
Chunguza Ufu 16:9
6
Ufu 16:2
Akaenda huyo wa kwanza, akakimimina kitasa chake juu ya nchi; pakawa na jipu baya, bovu, juu ya wale watu wenye chapa ya huyo mnyama, na wale wenye kuisujudia sanamu yake.
Chunguza Ufu 16:2
7
Ufu 16:16
Wakawakusanya hata mahali paitwapo kwa Kiebrania, Har-Magedoni.
Chunguza Ufu 16:16
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video