Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021Mfano

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

SIKU 30 YA 30

Maarifa ya Mungu ni ya ajabu. Mtu hawezi kuyafikia. Ingawa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, hatuna maarifa na hekima ya kujua kilichoumbwa na Mungu. Tunajisifu kwa sababu ya maendeleo na ujuzi uletwao na sayansi na teknolojia yake. Lakini Mungu ana swali kwa Ayubu na sisi wa kizazi cha leo: Maendeleo hayo yana faida gani katika maisha ya kumwamini Mungu? Mazungumzo ya Mungu na Ayubu yatusogeze mbele kwenye hatua ya kumfahamu Mungu zaidi. (Ukiwa na Tenzi za Rohoni, imba au omba na. 92.)

siku 29

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 1 Wakorintho na Ayubu. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuishukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi tembelea: http://www.somabiblia.or.tz