Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 03/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 03/2024

SIKU 10 YA 31

Huu ni wito kwa wasomaji kuhakikisha hawaikosi raha ya milele maadamu bado mlango ni wazi. Watu wamesikia mahubiri ya neno la Mungu nyakati na mahali tofauti tofauti. Jambo kuu ni imani kwa wanaolisikia. Kuwepo au kutokuwepo kwa imani, ndiko kunakofanya uingie au uikose raha ile.Maana sisi tulioamini tunaingia katika raha ile(m.3a), wengine wote hawataingia. Mwaliko wa neno la Mungu unataka kupokelewa kwa imani na kukubali utawala wa neno la Mungu maishani. Tangu mwanzo mwanadamu alikaribishwa kushiriki hiyo raha ya Mungu. Dhambi ilimpotezea nafasi hiyo.

Andiko

siku 9siku 11

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 03/2024

Soma Biblia Kila Siku 03/ 2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Waebrania. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/