Soma Biblia Kila Siku 04/2025Mfano

Mpate kuyakumbuka yale maneno yaliyonenwa zamani namanabii watakatifu, na ile amri yaBwana na Mwokoziiliyoletwa namitumewenu(m.2). Hapa kumetajwa makundi matatu ambayo maneno yao tuyazingatie sana ili tusiyumbishwe katika imani. Maneno yamanabii watakatifuni Agano la Kale. Wanatheolojia wengi wana mashaka juu ya ukweli wa maandiko haya, lakini bila sababu nzuri! Maana Yesu mwenyewe hakuwa na mashaka! Alionamaandiko hayawezi kutanguka(Yn 10:35). Yaani ni neno la Mungu kweli!
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 04/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Aprili pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Walawi, Luka na 2 Petro. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: www.somabiblia.or.tz