Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 07/2020Mfano

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

SIKU 18 YA 31

Manabii wahubiri neno la Mungu, lakini mara nyingine wao wenyewe pia ni ujumbe wake. Wanapitishwa katika hali ngumu sana ili kuonyesha kusudi la Mungu. Mfano ni jinsi Ezekieli alivyolala chini kwa ubavu siku 390. Siku hizi zamaanisha miaka 390 ya uovu wa Waisraeli, tangu hekalu la Yerusalemu lilipojengwa mpaka wakati wa Ezekieli. Ujumbe ni wazi: Mungu aadhibu dhambi isiyotubiwa. Yerusalemu utatekwa, maana hata baada ya Ufalme wa Kaskazini kuangamia, watu wa Yuda hawakuacha njia ya uovu.

siku 17siku 19

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz