Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 03/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 03/2024

SIKU 17 YA 31

Hapa mwandishi anashuhudia juu ya mambo mazuri yaliyotendewa na watu wa Mungu aliowaandikia. Anatoa mfano wa huduma yao ya upendo kwa watakatifu. Msisitizo hapa ni kwamba wale anaowaandikia waone na kushuhudia matendo mema ya watu wa Mungu waliotangulia kuamini; wasijishuhudie wenyewe. Matendo ya upendo ya watu hao, ni matunda ya imani. Wokovu lazima ufuatane na matendo mema kama matunda yake. Mwandishi anasisitiza kwamba ahadi za Mungu ni za kweli. Mungu alimtimizia Ibrabimu ahadi zake.

siku 16siku 18

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 03/2024

Soma Biblia Kila Siku 03/ 2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Waebrania. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/