Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 03/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 03/2024

SIKU 23 YA 31

Makuhani wa Agano la Kale walitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zao kwanza. Yesu hakuwa na dhambi kwa hiyo hakuhitaji kutoa dhabihu kwa ajili yake mwenyewe, bali kwa ajili ya wanadamu. Hivyo amekuwa kuhani wa agano jipya. Sifa zake ni nzuri sana: Mtakatifu, asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lolote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu kuliko mbingu, asiye na haja ya kutoa dhabihu kwa dhambi zake maana yeye hana dhambi. Yesu alitoa dhabihu ya nafsi yake kwa ajili ya wenye dhambi.

siku 22siku 24

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 03/2024

Soma Biblia Kila Siku 03/ 2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Waebrania. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/