Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 09/2025Mfano

Soma Biblia Kila Siku 09/2025

SIKU 13 YA 30

Kuwa mfuasi wa Kristo si jambo la siri au kificho. Mkristo ni kama ubao wa matangazo. Mwandishi ni Roho wa Mungu. Ubao huu unasomwa na watu wote. Hatari yetu ni kuchafua au hata kuharibu yaliyoandikwa ubaoni. Matokeo ya kuonekana kwetu yanatakiwa yawe kuinuka kwa Kristo. Hivyo wasioamini watatambua kuwepo kwa Kristo kwa njia ya ushuhuda wetu. Je, wewe nibarua ya Kristokwao? Unasomekaje mbele ya jirani zako? Jihoji kwanza, kisha rudia m.5 ili ulikumbuke neno hili jema siku nzima ya leo:Si kwamba twatosha sisi wenyewe kufikiri neno lo lote kwamba ni letu wenyewe, bali utoshelevu wetu watoka kwa Mungu.

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 09/2025

Soma Biblia Kila Siku 09/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Septemba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 1 Nyakati na 2 Wakorintho. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: www.somabiblia.or.tz

Mipangilio yanayo husiana